Skip to main content
Skip to main content

Serikali imetambua mchango wa Raila Odinga kote nchini

  • | Citizen TV
    1,312 views
    Duration: 1:28
    Kamishna wa kaunti ya Mombasa Mohammed Noor aliwaongoza wakazi katika kuadhimisha sherehe za mashujaa, huku akielezea kuwa serikali imetambua mchango wa mrehemu raila Odinga kwa kumtunuku kama shujaa wa hadhi ya juu zaidi nchini. ‎