- 230 views
Serikali kupitia wizara ya elimu inalenga kupanda miche milioni 6 katika Kaunti ya Migori kabla ya mwisho wa Juni 2024 katika zoezi linaloendelea la upanzi wa miti kote nchini. Takwimu kutoka wizara ya elimu zinaonyesha kuwa miche milioni 2 imepandwa katika shule za kaunti ya Migori katika muda wa mwezi mmoja uliopita. Mkurugenzi wa elimu kanda ya Nyanza Nelson Sifuna alisema kila mwanafunzi atapanda angalau miti minne na kila mwalimu atapanda miti kumi katika shule zao. Alikuwa akizungumza wakati wa uzinduzi wa zoezi la upandaji miti katika shule ya upili ya wasichana ya Ulanda katika kaunti ndogo ya Awendo
Serikali inalenga kupanda miche milioni 6 Kaunti la Migori
- - Flood deaths hit 82 ››
- 28 Apr 2024 - An earthquake of magnitude 6.5 struck Japan's Bonin Islands, the United States Geological Survey (USGS) said on Saturday.
- 28 Apr 2024 - Sierra Leone's Energy Minister Kanja Sesay resigned on Friday over a weeks-long electricity crisis, the same day the government announced it had paid some of the tens of millions of dollars it owed to energy providers.
- 28 Apr 2024 - Crisis looms as schools to reopen amid floods, interns strike threat
- 28 Apr 2024 - Teachers at the forefront of getting girls vaccinated against deadly virus
- 28 Apr 2024 - Widow recounts fond memories as Col Keitany is laid to rest
- 28 Apr 2024 - A day after the recent United Democratic Alliance (UDA) party elections, candidates who were vying for seats in the just concluded polls have expressed concerns about suspected interference with the voting process.
- 28 Apr 2024 - 76 people confirmed dead as a result of raging floods in last 12 hours
- 28 Apr 2024 - Crisis deepens as counties send home defiant medics
- 28 Apr 2024 - Ohio police released video of a Black man who died at a local hospital after repeatedly telling officers "I can't breathe" as they pinned him to the floor of a bar and handcuffed him, evoking memories of the killing of George Floyd in 2020.
- 28 Apr 2024 - Observers believe the demise of Ogolla has lost a nut of trust in Kenya Kwanza government.