- 243 viewsDuration: 1:40Hatimaye Wizara ya Afya, Mamlaka ya SHA na Chama cha Walimu KNUT zimeafikiana kufuatia mvutano ulioibuka kuhusu bima ya afya ya SHA kwa walimu. Mkutano wa pande husika umetangaza mabadiliko muhimu ya kuboresha upatikanaji wa huduma za afya kwa walimu na kuondoa changamoto zilizoibuka.