Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya kaunti ya Kitui yabaini idadi kubwa ya waathiriwa wa saratani ya kizazi

  • | Citizen TV
    170 views
    Duration: 52s
    Wizara ya Afya katika Kaunti ya Kitui imebaini kuwa kuna viwango vya juu vya saratani ya mlango wa kizazi, ikifuatiwa na saratani ya matiti na kisha saratani ya tezi dume. Naibu Mkurugenzi katika sekta ya afya ya umma Kaunti ya Kitui, Faith Mutinda, amewahimiza wanaume pia kujitokeza kupimwa saratani ya matiti.