Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya Kenya Kwanza yasema itaboresha mfumo wa elimu

  • | Citizen TV
    224 views
    Duration: 1:55
    Rais William Ruto amesema serikali yake inaendelea na mageuzi ya elimu ili kuhakikisha wanafunzi wanapata maarifa na stadi zinazohitajika katika ulimwengu wa sasa.