- 164 views
Serikali ya Kenya imeshtakiwa kwa madai ya kumuondolea mtengenezaji bidhaa malipo ya shilingi bilioni-188.9 na hivyo kuinyima nchi hii mapato. Wakili Apollo Mboya aliyewasilisha rufaa hiyo alieleza mahakama kuwa serikali ilikaidi kanuni za matozo ya ushuru na hivyo kusababisha hasara ya mamilioni ya pesa ambazo zingelipwa kama ushuru kufadhili maendeleo. Mahakama kuu jijini Nairobi inatarajiwa kutoa uamuzi kuhusu suala hilo mnamo tarehe-9 mwezi Oktoba mwaka huu. Hayo ni kwenye mizani yetu ya haki.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali ya Kenya yashtakiwa kwa kumuondolea mtengenezaji bidhaa malipo ya shilingi bilioni-188.9
- - Lewa Marathon 2025 ››
- 29 Jun 2025 - Iran has expanded access to its airspace for international overflights following a ceasefire with Israel, though flight restrictions remain in place across much of the country, an official said Saturday.
- 29 Jun 2025 - Rwanda and the Democratic Republic of Congo have signed a peace agreement Washington to end fighting that has killed thousands, with the two countries pledging to pull back support for guerrillas -- and President Donald Trump boasting of securing…
- 29 Jun 2025 - South Africa's Democratic Alliance (DA), a member of the ruling unity government, said Saturday that it was withdrawing from a "national dialogue" grouping aimed at tackling the problems dogging the country.
- 29 Jun 2025 - Police in Kisii have launched an investigation aimed at cracking down on fraudsters conning M-Pesa shop owners in Kisii Town, Keumbu, and surrounding areas.
- 29 Jun 2025 - Gen Z protests: Let's deflate the national anger
- 29 Jun 2025 - When the State hires thugs to fight its citizens, it loses war on criminals
- 29 Jun 2025 - DCI officer strangled me over protest clips
- 29 Jun 2025 - Gachagua in unfamiliar territory as 'mobiliser of demonstrations'
- 29 Jun 2025 - Blame game as State sees coup where opposition sees youth revolt
- 29 Jun 2025 - Ruto allies vow to push for law regulating riots