Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya Tanzania yawaonya wanaopanga maandamano

  • | Citizen TV
    12,529 views
    Duration: 1:13
    Jeshi la polisi la tanzania limetoa onyo kali dhidi ya maandamano yanayopangwa kufanyika tarehe 9 mwezi huu , likisisitiza kuwa wale wanaoratibu maandamano hayo watakabiliwa kisheria. katika taarifa ya msemaji wa serikali ya tanzania Gerson Msigwa amewashutuhumu wanaoandaa maandamano hayo kwa kutaka kuingiza nchi hiyo kwenye machafuko.