- 672 viewsAfisa wa Uhusiano na Itifaki wa shirika la Usalama wa Nje, ESO, Uganda Paul Mugisha anasema kundi la wanachama 36 wa chama cha siasa cha FDC waliorejeshwa kutoka Kenya, lilikamatwa kisumu kwa kujihusisha na vitendo vya kutia shaka ambapo walinda usalama nchini Kenya waliiarifu Uganda kuhusu kukamatwa kwa kundi hilo kabla ya kurejeshwa. Naye mmoja wa wanachama wa FDC Samule Makokha Mugenyi aliyekuwa huko Kenya alieleza usumbufu waliokutana nao wakati walipokuwa wakikamatwa. Naye makamu wa rais wa chama cha upinzani Uganda FDC, Salam Musumba alisema: Viongozi hao wametekwa, katika karne hii ya 21 wametekwa, Tutawasilisha barua yetu ya malalamiko Ubalozi wa Kenya nchini Uganda, alieleza. "Na kuwajulisha kuhusu utekaji kinyume cha sheria na wa kikatili Utekaji wa viongozi 36 wa chama cha FDC," makamu rais alieleza. Kwa mujibu wa uongozi wa FDC wakati wakikamatwa viongozi hao walikuwa katika Kituo cha Umma cha Uchungaji mjini Kisumu ambako walikuwa wanahudhuria mafunzo ya kuwajengea uwezo wa mikakati ya masuala ya siasa kwa wiki moja. Polisi nchini Uganda walidai kwamba kundi hilo lilisafiri kati ya Julai 22 na 23 2024 kutoka maeneo mbalimbali ya Uganda hadi Kisumu, Kenya. #uganda #kenya #kisumu #fdc #upinzani #meya #kampala #polisi #ugaidi #ibrahimssemujjunganda
Serikali ya Uganda yaeleza sababu ya viongozi 36 wa FDC kukamatwa Kenya
- - Mustakabali Wa Siasa ››
- 13 May 2025 - Magistrate BenMark Ekhubi delivered the ruling on Tuesday, allowing an application by the Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP).
- 13 May 2025 - The floods were triggered by heavy rainfall in the nearby Eburru Forest, which sent torrents of water cascading down into surrounding villages. The sudden deluge left a trail of destruction in its wake, washing away property, submerging farmland, and…
- 13 May 2025 - Jude Chesire, the CEO of the Kenya Sugar Board, has asserted that all private investors in the sugar sector will have their licenses revoked by the State if they underdeliver.
- 13 May 2025 - In a decision delivered by Justice R. Nyakundi, the court issued conservatory orders prohibiting the committee—established through Gazette Notice No. 4069, Vol. CXXVII—No. 64 dated March 28, 2025—from compiling reports, issuing recommendations, or…
- 13 May 2025 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has admitted that Haiti's Multinational Security Support Mission has been operating without the necessary equipment and support.
- 13 May 2025 - Kenyans have been invited to submit their views on the changes before May 27.
- 13 May 2025 - In the ruling, the court ordered the defendants to file their responses within 7 days.
- 13 May 2025 - The notice affects motorists and other stakeholders in the motor vehicle sector.
- 13 May 2025 - The DPP, through Principal Prosecution Counsel Victor Owiti, persuaded the court that the offences for which the fugitive is sought are indeed extraditable, as they also amount to offences under Kenyan law.
- 13 May 2025 - The matatu was filmed while being driven recklessly before a crash.