- 672 viewsAfisa wa Uhusiano na Itifaki wa shirika la Usalama wa Nje, ESO, Uganda Paul Mugisha anasema kundi la wanachama 36 wa chama cha siasa cha FDC waliorejeshwa kutoka Kenya, lilikamatwa kisumu kwa kujihusisha na vitendo vya kutia shaka ambapo walinda usalama nchini Kenya waliiarifu Uganda kuhusu kukamatwa kwa kundi hilo kabla ya kurejeshwa. Naye mmoja wa wanachama wa FDC Samule Makokha Mugenyi aliyekuwa huko Kenya alieleza usumbufu waliokutana nao wakati walipokuwa wakikamatwa. Naye makamu wa rais wa chama cha upinzani Uganda FDC, Salam Musumba alisema: Viongozi hao wametekwa, katika karne hii ya 21 wametekwa, Tutawasilisha barua yetu ya malalamiko Ubalozi wa Kenya nchini Uganda, alieleza. "Na kuwajulisha kuhusu utekaji kinyume cha sheria na wa kikatili Utekaji wa viongozi 36 wa chama cha FDC," makamu rais alieleza. Kwa mujibu wa uongozi wa FDC wakati wakikamatwa viongozi hao walikuwa katika Kituo cha Umma cha Uchungaji mjini Kisumu ambako walikuwa wanahudhuria mafunzo ya kuwajengea uwezo wa mikakati ya masuala ya siasa kwa wiki moja. Polisi nchini Uganda walidai kwamba kundi hilo lilisafiri kati ya Julai 22 na 23 2024 kutoka maeneo mbalimbali ya Uganda hadi Kisumu, Kenya. #uganda #kenya #kisumu #fdc #upinzani #meya #kampala #polisi #ugaidi #ibrahimssemujjunganda
Serikali ya Uganda yaeleza sababu ya viongozi 36 wa FDC kukamatwa Kenya
- 6 Aug 2025 - A woman has been found guilty of killing her lover back in 2020 in Nanyuki County.
- 6 Aug 2025 - Human rights activists are calling for the disbandment of the National Police Service (NPS) following damning revelations in the latest EACC corruption index, which ranks the security organ among the most corrupt institutions in the country.
- 6 Aug 2025 - Cabinet Secretary for Public Service Geoffrey Ruku has issued a stern warning to corrupt public officers, calling on the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) to swiftly arrest all individuals implicated in recent graft reports.
- 6 Aug 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has declared his support of the proposal for the United States to review Kenya's designation as a major non-North Atlantic Treaty Organization (NATO) ally.
- 6 Aug 2025 - Six senior officials from the Busia County Government have been arrested over allegations of misappropriating public funds through irregular procurement processes involving tenders worth Ksh.1.4 billion.
- 6 Aug 2025 - In a historic move to combat one of the most common sexually transmitted infections (STIs), the National Health Service (NHS) has launched the world’s first gonorrhoea vaccination programme in England, targeting individuals most at risk of infection.
- 6 Aug 2025 - The government has already threatened to sack police officers and chiefs in some parts of the country.
- 6 Aug 2025 - Ring-necked parrots, green- and yellow-fronted canaries intercepted at Lagos Airport
- 6 Aug 2025 - Nairobi Traffic Commandant Joseph Chirchir said roads near Moi International Sports Complex, Kasarani and Nyayo National Stadium will face full or partial closures to ease movement around the stadium.
- 6 Aug 2025 - Kiambu is among the nine counties that make up the Mount Kenya Bloc.