Skip to main content
Skip to main content

Serikali yahimizwa kuboresha ulinzi wa waathiriwa wa dhulma za kijinsia

  • | Citizen TV
    510 views
    Duration: 2:19
    Serikali inahimizwa kuboresha miundo msingi ya vituo vya polisi na mahakama ili kuimarisha kampeni ya kupambana na ongezeko la visa vya dhuluma za kijinsia katika kaunti ya Kilifi.