- 14 views
Idara ya urekebishaji tabia itanakili idadi ya wafungwa wanaotumikia hukumu zisizozidi miaka mitano ili kuangazia upya hukumu hizo kwa lengo la kupunguza msongamano magerezani na pia kuwashirikisha kwenye mpango wa kuhudumia jamii. Idara hiyo imeimarisha mafunzo na kozi kwa wafungwa.Kwa mujibu wa katibu katika wizara ya urekebishaji tabia, Salome Beacco idara ya magereza inashirikiana na idara ya mahakama ili maafisa wa mahakama wawe wakitembelea magereza mara kwa mara kuchunguza upya hukumu za wafungwa zinazoweza kugeuzwa kuwa huduma kwa jamii. Alisema hayo alipozuru gereza ya Kericho kabla ya kuelekea kwenye magareza ya Sotik na Bomet
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali yalenga kupunguza msongamano magerezani
- - Road to CHAN 2024 ››
- - World first aid day ››
- 12 Jul 2025 - Clinicians in Machakos County have officially called off a planned strike just two hours before its scheduled commencement, which was to start at midnight on Saturday.
- 12 Jul 2025 - Nyachae had previously been shortlisted to become the new chair of the IEBC.
- 12 Jul 2025 - Iranian authorities carried out on Saturday a public execution of a man convicted of raping and murdering a young girl, the judiciary said.
- 12 Jul 2025 - Julia Njoki was arrested on July 7 during nationwide protests against police violence and government corruption, held on the anniversary of Saba Saba Day, which commemorates Kenya’s struggle for multi-party democracy.
- 12 Jul 2025 - Karua has been in politics for close to three decades.
- 12 Jul 2025 - Her sentiments come in the wake of the heightened youth killings.
- 12 Jul 2025 - George Maina Muriithi is accused of luring a businessman in October 2022 with a fake investment deal, claiming to sell 48,800 shares in the lodge company at Sh1,000 each.
- 12 Jul 2025 - The Families of War Veterans who fought for independence through the Dini ya Msambwa from Western Kenya are asking for compensation from the government and colonialists. The Families have decried being neglected and forgotten, despite the legacy of…
- 12 Jul 2025 - Oparanya noted that the government is not only focused on reviving coffee production in traditional regions but also on introducing the crop in new counties identified as having favourable conditions for coffee farming.
- 12 Jul 2025 - Gaza's civil defence agency said Israeli forces killed 18 people on Friday, including 10 who were waiting for aid in the south of the war-ravaged territory.