Skip to main content
Skip to main content

Serikali yatakiwa kuanzisha vituo vya kuchunguza dhuluma za kijinsia mtandaoni

  • | Citizen TV
    442 views
    Duration: 1:51
    Baadhi ya mashirika ya kutetea haki za binadamu kaunti ya Kwale yameitaka serikali kuanzisha vituo vya kuchunguza visa vya dhulma za kijinsia mitandaoni katika kila kaunti.