- 13 views
Chama cha Wanasheria nchini Kenya sasa kinalitaka baraza la kitaifa la Usalama kuyaagiza mashirika yote ya uchunguzi kuanzisha na kuweka hadharani ripoti kuhusu athari kamili za maandamano ya vijana al maarufu GEN Z ya mwaka jana na mzozo wa ardhi huko Narok uliosababisha vifo vya waandamanaji watano. Akizungumza jijini Nairobi, Rais wa chama cha wanasheria humu nchini Faith Odhiambo alisema hatua hiyo itafanikisha kutambuliwa kwa wahusika na waathiriwa, na kuwezesha hatua mwafaka kuchukuliwa. Huyu hapa mwanahabari wetu Abdiaziz Hashim na kina cha taarifa hiyo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali yatakiwa kuchunguza madai ya mauaji ya waandamanaji
- 1 May 2025 - Ukraine expects to sign a much-anticipated minerals deal with the United States in "the next 24 hours", Prime Minister Denys Shmygal said Wednesday, as both sides finalised details.
- 1 May 2025 - Israeli Defence Minister Israel Katz ordered troops to deploy on Wednesday to support firefighters battling rapidly spreading wildfires near Jerusalem, calling the situation a "national emergency".
- 1 May 2025 - US President Donald Trump said Wednesday he was considering legal action against the New York Times, in his latest attack on a major media outlet.
- 1 May 2025 - The government is revving up revenue collection efforts with increased pursuit of businesses and the creative economy to meet its tax targets. It has warned that a significant number of companies in the country risk losing their registration permits,…
- 1 May 2025 - Atwoli: A political wheeler-dealer disguised as the workers' defender
- 1 May 2025 - Cost of living: How salaries have changed since last Labour Day
- 1 May 2025 - Trapped abroad, silenced at home: the agony of job-seeking Kenyans
- 1 May 2025 - Why you are likely to lose your land to family, not fraudsters
- 1 May 2025 - How Barrakoi six were shot dead by police as kin cry out for justice
- 1 May 2025 - Private firms sack workers as State wage bill continues to rise