Skip to main content
Skip to main content

Serikali yatakiwa kutuma mgao wa kufadhili masomo

  • | Citizen TV
    137 views
    Duration: 1:13
    Serikali kupitia wizara ya elimu imeombwa kuhakikisha mgao wa fedha za kufadhili masomo shuleni unatolewa kwa wakati, ili kuwawezesha walimu kutekeleza mipango na miradi ya shule ipasavyo.