Skip to main content
Skip to main content

Serikali yazindua upya shirika linalosimamia mashirika yasiyo ya kiserikali

  • | KBC Video
    189 views
    Duration: 2:39
    Serikali imezindua upya Mamlaka ya Kusimamia Mashirika ya Manufaa kwa Umma ambayo hapo awali ilikuwa Bodi ya ushirikishi wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali katika juhudi za kuimarisha usimamizi, uwazi na uwajibikaji katika sekta ya mashirika yasiyo ya kibiashara nchini Kenya.Mamlaka hiyo ilizindua nembo mpya na tovuti mpya siku ya Jumanne, hatua inayowakilisha mageuzi makubwa ya mifumo yake ya kidijitali ili kuboresha utoaji wa huduma na ushirikiano na wadau.Mamlaka hiyo imepewa jukumu la kusajili na kusimamia mashirika yote yasiyo ya kiserikali na taasisi za misaada zinazoendeleza shughuli zake humu nchini Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive