Shabiki wa Taifa Stars amwaga sifa kemkem kwa wachezaji kadhaa
Timu ya Taifa ya Soka ya Tanzania, Taifa Stars imepoteza mchezo wa marejeano wa kufuzu fainali za AFCON 2025 dhidi ya DR Congo kwa mabao 2-0 mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Mabao ya Congo yamefungwa na mshambuliaji Meshack Elia katika dakika za 88 na 90+, nyota huyo akiitumikia Young Boys ya Uswisi katika ngazi ya klabu.
Licha ya kupoteza mashabiki wa Stars wamezungumzia mchezo huo wakiipongeza timu hiyo.
Hadi sasa kwenye msimamo wa kundi H, linaongozwa na DR Congo wenye pointi 12 ambao tayari wamefuzu kwenye fainali hizo, Tanzania (Taifa Stars) nafasi ya pili ikiwa na pointi 4, Guinea nafasi ya tatu pointi 3, Ethiopia ikishika mkia ikiwa na pointi 1. Sikiliza namna shabiki huyu anavyomwaga sifa kwa wachezaji kadhaa...
#tanzania #afcon2025 #drc #naibuwaziri #hamismwinjuma #daressalaam #benjaminmkapa #uwanja #mashabiki #uingereza
14 Jun 2025
- The prices are set to be in effect for the next 30 days.
14 Jun 2025
- The cause of the crash remains unclear.
14 Jun 2025
- Some officers were spotted wearing face masks during the recent Albert Ojwang protests.
14 Jun 2025
- Iran and Israel traded missiles and airstrikes on Saturday, the day after Israel launched a sweeping air offensive against its old enemy, killing commanders and scientists and bombing nuclear sites in a stated bid to stop it from building an atomic…
14 Jun 2025
- Officers from the veterinary board of Kenya, in collaboration with police, have launched a crackdown in Kisii County, targeting livestock drug shops, especially those linked to the sale of narcotic substances that pose a threat to both human and animal…
14 Jun 2025
- The Pentecostal Voice of Kenya (PVK) has strongly condemned the brutal killing of Albert Ojwang while in police custody, terming it a disturbing reminder of the country’s ongoing struggle with extrajudicial killings.
14 Jun 2025
- Attempts to impeach Isiolo Governor Abdi Guyo have turned murky, with claims of intimidation and abduction against those calling for his ouster.
14 Jun 2025
- Baba Dogo residents clashed with police on Friday as they tried to salvage their belongings following an eviction from the Baba Dogo playground.
14 Jun 2025
- A massive fire erupted in the early hours of Saturday at Barnabas, just a few kilometres from Nakuru town.
14 Jun 2025
- Demonstrations rocked Oyugis town in Homa Bay County as residents took to the streets on Friday, demanding that all top officers implicated in the murder of Albert Ojwang’ be arrested forthwith.
14 Jun 2025
- Coca-Cola Kenya delighted the top leadership of Royal Media Services (RMS) with personalised cans of Coke during a courtesy visit as part of its ongoing ‘Share a Coke’ campaign.
14 Jun 2025
- The prices are set to be in effect for the next 30 days.
14 Jun 2025
- NAIROBI, Kenya, Jun 14 – Super Petrol price has increased by Sh2.69 per litre to retail at Sh177.32 in Nairobi in the latest pump price review by the Energy and Petroluem Regulatory Authority (EPRA). The prices of Diesel and Kerosene have also decreased…