Shambulizi la wanamgambo katika hoteli laua idadi ya watu isiyojulikana
Bomu la kwenye gari lilipuka Jumanne katika hoteli moja mjiniBeledweyne, katikati mwa Somalia, na kusababisha shambulizi lawanamgambo lililodumu kwa saa kadhaa na kuua idadiisiyojulikana ya watu.
Majeshi ya Somalia yaliendelea na juhudi za kuwafurushawashambuliaji Jumanne jioni baada ya mapigano makali.
Hoteli ya Cairo inatumiwa na viongozi wa kijadi na maafisa wajeshi ambao wanahusika na uratibu wa mashambulizi ya serikalidhidi ya kikundi cha wanamgambo wa al-Shabaab.
Kikundi cha al-Shabaab chenye uhusiano na al-Qaida kilidaikuhusika na shambulizi hilo.
Beledweyne, iko kiasi cha kilometa 335 kaskazini mwa mjimkuu, Mogadishu, ni mji mkuu wa mkoa wa Hiran na eneo lakimkakati katika kampeni inayoendelea dhidi ya al-Shabaab.(AP)
#somalia #alshabaab #voa
15 Jun 2025
- The incident occurred on Sunday morning.
15 Jun 2025
- At the moment, Super petrol is retailing at Ksh177.32, diesel at Ksh162.91, and kerosene at Ksh146.93 per litre.
15 Jun 2025
- The ODM party has since joined the governor in mourning.
15 Jun 2025
- For hours, thousands of people in Los Angeles peacefully celebrated their defiance of US President Donald Trump Saturday with music, marching, bubbles and balloons -- then police unexpectedly moved in, and chaos and confusion broke out.
15 Jun 2025
- President William Ruto’s aide Farouk Kibet, has accused former Deputy President Rigathi Gachagua of fuelling recent protests in Nairobi city.
15 Jun 2025
- Firm owned by the late Peter Muigai Kenyatta, John Muigai and Richard Muigai, reportedly owes the county Sh118m.
15 Jun 2025
- Seven people including a toddler were killed Sunday in India when a helicopter ferrying Hindu pilgrims from a shrine crashed in the Himalayas, officials said.
15 Jun 2025
- When the policemen came for Albert Ojwang - the Kenyan blogger whose death in custody sparked protests this week and prompted a rare acknowledgement of police brutality by the president - his wife initially thought he would be safe.
15 Jun 2025
- The incident occurred on Sunday morning.
15 Jun 2025
- Prime Minister Netanyahu warned of more attacks on Iran in the coming days.
15 Jun 2025
- A tragic road accident in the early hours of Sunday morning claimed the lives of three people and left eight others injured after a speeding vehicle crashed into a police-led rescue operation at Chuma area, approximately three kilometers south of…
15 Jun 2025
- At the moment, Super petrol is retailing at Ksh177.32, diesel at Ksh162.91, and kerosene at Ksh146.93 per litre.
15 Jun 2025
- The ODM party has since joined the governor in mourning.