Skip to main content
Skip to main content

Sheria ya kudhibiti maeneo ya wanyamapori yapuuzwa Kajiado

  • | Citizen TV
    778 views
    Duration: 3:45
    Katika eneo la Eselenkei, kajiado kusini, uhalifu wa mazingira unaendelea kukithiri licha ya sheria ya mipangilio ya ardhi kupitishwa na kaunti ya Kajiado. Wanyama pori kama twiga na mbuni wamekuwa wakifa kutokana na uzio na ujenzi unaoendelea kufunga njia zao.