Skip to main content
Skip to main content

Shirika laanzisha mbio za baiskeli kuwachangia walemavu

  • | Citizen TV
    185 views
    Duration: 1:38
    Kama njia moja ya kupiga jeki elimu ya watoto wenye ulemavu katika Kaunti ya Turkana, wakfu wa ACTS umeanzisha mbio za baiskeli za kilomita elfu moja na mia nne kutoka Lodwar Turkana Hadi mombasa ili kuchangisha pesa.