Shughuli katikati ua jiji zzilitatizwa kutwa nzima

  • | Citizen TV
    6,617 views

    Imekuwa siku ya vurugu na makabiliano jijini Nairobi huku maandamano yaliyolengwa kushinikiza haki kwa mwanablogu Albert Ojwang yakigeuka kuwa mapambano kati ya wanaharakati, polisi na makundi ya raia waliojihami. Watu kadhaa walijeruhiwa kwenye vurumai la leo huku vitoa machozi vikitawala maeneo ya katikati ya jiji la Nairobi kwa kutwa nzima.