Skip to main content
Skip to main content

Shughuli za uchukuzi zarejea baada ya mgomo kufutiliwa mbali

  • | Citizen TV
    453 views
    Shughuli za uchukuzi zimerejea kama kawaida kote nchini baada ya mgomo wa sekta ya usafiri kufutiliwa mbali hii leo. Wahudumu wa usafiri waliokutana na maafisa wakuu wa serikali wanasema wametoa muda wa wiki moja kwa mazungumzo na serikali kutafuta muafaka.