- 3,245 views
Mwezi mmoja baada ya Rais William Ruto kuondoa marufuku ya uvunaji wa miti kwenye misitu nchini, shughuli hiyo imeanza kwa kasi huku waliopewa leseni ya kukata miti kabla ya marufuku kuwekwa mwaka wa 2018 wakiruhusiwa ndani ya misitu. Idara ya misitu imewapa kibali cha kukamilisha uvunaji huku utaratibu wa kutoa leseni kwa watu zaidi kukata miti katika hekta 5,000 iliyo na miti iliyokoma ikiendelea. Japo wafanyibiashara wameshabikia hatua hiyo, wanamazingira wanahofia huenda juhudi za kulinda misitu zikaathirika. Gatete Njoroge alizuru misitu mbalimbali ambako uvunaji wa miti unaendelea na kuandaa makala haya.
Shughuli za uvunaji miti zimeshika kasi misituni baada ya rais kuondoa marufuku
- 11 May 2024 - The 11-member Select Commitee tasked with investigating Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi has embarked on writing its report after winding up its three-day trial at Parliament buildings.
- 11 May 2024 - Kenya and the Democratic Republic of Congo (DRC) have resumed full diplomatic ties days after the Kenya Airways incident that had put the two countries' relationship in limbo.
- 11 May 2024 - Three people were injured on Friday as the tussle surrounding the ownership of a 66-acre piece of land in Karen escalated.
- 10 May 2024 - Hope was fading Friday for 44 construction workers buried for days in the rubble of a building that collapsed in South Africa.
- 10 May 2024 - Police in Athi River, Machakos County, are investigating the gruesome murder of a Ohangla dancer Sheila Odoyo, popularly known as Sheila Wegesha.
- 10 May 2024 - A family from Machakos is demanding justice for their daughter who was reportedly murdered in cold blood by unknown individuals.
- 10 May 2024 - At least one police officer was injured in the attack.
- 10 May 2024 - The Ministry of Education has now issued new instructions to guide the smooth return to school for learners and institutions of learning across the country.
- 10 May 2024 - Parents directed to enforce school attendance and work closely with teachers to ensure safety of students.
- 10 May 2024 - At least one police officer was injured in the attack.