Skip to main content
Skip to main content

Shule ya Loromoru huko Baringo haitafunguliwa baada ya kubomolewa

  • | Citizen TV
    1,051 views
    Duration: 1:56
    Shule ya Msingi ya Loromoru haitafunguliwa baada ya kubomolewa usiku wa kuamkia Jumamosi na maafisa wanaodaiwa kuwa wa Huduma ya Misitu Kenya (KFS), wakidai kuwa imejengwa ndani ya Msitu wa Mukutani uliotangazwa kuwa hifadhi ya serikali.