Skip to main content
Skip to main content

Shule za sekondari Machakos zikumbwa na idadi ndogo ya wanafunzi

  • | Citizen TV
    48 views
    Wasiwasi umeibuka katika baadhi ya shule za sekondari ya juu baada ya kukosa idadi ya wanafunzi iliyotarajiwa. Kwa mfano katika kaunti ya Machakos, kuna shule yenye wanafunzi wanne tu, siku tatu baada ya gredi ya 10 kuanza rasmi kuambatana na mtaala wa elimu wa CBE.