- 45 views
Ulimwengu unajiandaa kuadhimisha siku ya maji duniani licha ya kuwepo kwa tatizo la uhaba wa maji ambalo limechangia mzozo wa kibinadamu katika baadhi ya nchi duniani. Kamati ya kimataifa ya shirika la msalaba mwekundu ambayo iko mstari wa mbele kutoa misaada ya kibinadamu nchini Sudan na Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetoa tahadhari kuhusu tatizo kuongezeka kwa mizozo na kuhimiza juhudi za pamoja katika usambazaji maji safi na raslimali nyingine kwa wale walioachwa bila makao kutokana na mizozo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Siku ya maji duniani kuadhimishwa kesho: Wahanga watatizika kupata maji
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 28 Apr 2025 - Political leaders say residents need to protect themselves against rising cases of cattle rustling.
- 28 Apr 2025 - TSC, SHA clash over teachers' health cover amid limited access to services
- 28 Apr 2025 - They carry our pain, cry when no one sees, but who takes care of caregivers?
- 28 Apr 2025 - NSSF's plan to pay pension dues in a day signals relief for retirees
- 28 Apr 2025 - Ruto's remarks on roads levy cash spark stormy devolution debate
- 28 Apr 2025 - Nakuru Level Five Hospital reeling from burden of increasing numbers of patients.
- 28 Apr 2025 - The Religious Organisations Bill 2024 was never published because of the vested Church interests.
- 28 Apr 2025 - Former UDA Secretary General Cleophas Malala has sensationally placed President William Rutos party at the centre of a multi-million-shilling tax evasion scandal involving unremitted taxes.
- 28 Apr 2025 - Kenyan police officers expected back home in June after a one-year stay in Haiti.
- 28 Apr 2025 - Betting sector takes action to curb addiction with new rules