Skip to main content
Skip to main content

Siku ya Upatikanaji Habari I Ukosefu wa uwazi katika utoaji taarifa za serikali waangaziwa

  • | KBC Video
    36 views
    Duration: 3:31
    Tume ya utekelezaji haki imeeleza wasiwasi kuhusu ukosefu wa uwazi katika utoaji taarifa za mashirika ya serikali, hali inayowafanya wananchi washindwe kuwawajibisha viongozi. Tume hiyo inasema ipo haja ya kuwaelimisha wananchi kuhusu mbinu zilizopo za kupata taarifa hizo. Katibu katika wizara ya habari, mawasiliano na teknolojia Mhandisi John Tanui, amesema serikali imeweka huduma 22,000 mtandaoni ili kurahisisha upatikanaji wa taarifa na kupunguza pengo la mawasiliano. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive