- 1,912 views- "Simba ajiandae kutoka, abakie Mwakarobo, tuendele kubakia na lile jina, na pale Mwakarobo hawezi kutoka, ni Mwakarobo, nusu haiwezekani, Simba uwezo hana." - Katika soka la Tanzania, majibizano ya mashabiki wa Yanga na Simba si jambo geni, lakini jina la "Mwakarobo" limejikita zaidi katika simulizi ya maumivu ya mara kwa mara ya Simba kutolewa kwenye hatua ya robo fainali. Mwakarobo ni jina la kawaida tu la asili ya watu wa Mkoa wa Mbeya, hasa Tukuyu. - Leo tarehe 9 Aprili 2025, Simba itaingia dimbani Benjamin Mkapa kurudiana na Al Masry, ikiwa na lengo moja: Kufuta jina hilo kwa nguvu ya mabao, kushinda kwa zaidi ya mabao matatu na kuvuka hadi nusu fainali ya tatu katika historia yao ya mashindano ya Afrika. Je, safari hii itafanikiwa kuivunja laana ya Mwakarobo? - - - #simba #simbasctanzania #mnyama #tanzania #kandanda #bbcswahili #MICHEZOSubscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Simba vs Al Masry : Je, Simba ya Tanzania itaivunja laana ya Mwakarobo?
- 17 Jun 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has arraigned the former Garissa County Government Chief Protocol Officer over claims of forging academic certificates to fraudulently secure employment and siphon millions in public funds.
- 17 Jun 2025 - Speaking publicly for the first time since the call, Meshack Ojwang’, father to the deceased, revealed that the Head of State personally reached out to offer his sympathies and pledged KSh 2 million to support the grieving family.
- 17 Jun 2025 - Lagat’s journey from humble beginnings to the upper echelons of law enforcement paints the portrait of a man who steadily climbed the ranks of the National Police Service through technical skill, strategic appointments, and academic discipline.
- 17 Jun 2025 - Rotten at the top: Inside the deadly secrets of Central Police Station
- 17 Jun 2025 - Embattled Lagat bows to pressure, leaves office
- 17 Jun 2025 - Mukhwana: I was following my boss' orders
- 17 Jun 2025 - How 'Standard' covered the Ojwang' murder
- 17 Jun 2025 - Jacaranda wins first leg of league championships
- 17 Jun 2025 - Kenya's Divas show grit in loss to Namibia
- 17 Jun 2025 - Men should be at the forefront if fight against femicide is to be won