Skip to main content
Skip to main content

Taasisi ya mafunzo ya matibabu KMTC imeimarisha mafunzo

  • | Citizen TV
    49 views
    Taasisi ya mafunzo ya matibabu KMTC imeimarisha mafunzo yanayotolewa kwa wauguzi ili kusaidia kukabiliana na visa vinavyoongezeka vya kina mama kuaga dunia wanapojifungua. Kozi za uuguzi za kiwango cha astashahada zinalenga wanafunzi kutoka kaunti zinazoathirika zaidi. Serikali za kaunti zinalenga kuajiri watu 1,544 kutoka kwa taasisi hiyo mwaka huu