- 73 views
Wizara ya Huduma za Jamii na Talanta na ile ya Utalii katika kaunti ya Kwale zimesema talanta na michezo zinashirikishwa katika kuinua kiwango cha utalii katika kaunti hiyo. Wakizungumza katika hafla ya mbio za kila mwaka za Diani Run mawaziri wa idara hizo Francisca Kilonzo na Michael Mutua wamesema michezo tofauti inayoandaliwa eneo la Diani imeendelean kuuza eneo hilo kama kivutio kikuu mbali na kunoa talanta za vijana wa kaunti hiyo. Mbio hizo zilizoandaliwa na serikali ya kaunti ya Kwale kwa ushirikiano na South Coast Runners zimelenga kuhamasisha vijana kujitenga na visa vya utumizi wa dawa za kulevya na badala yake kuimarisha vipaji vyao katika nyanja tofauti. Lawrence Ng'ang'a anaarifu kutoka Kwale.
Talanta na michezo kushirikishwa kuinua kiwango cha utalii kaunti ya Kwale
- 17 Jul 2025 - Tiberius Ekisa, the Directorate of Criminal Investigations (DCI) Officer in charge of Nairobi Central, testified before the inquest into Rex Masai's killing on Thursday.
- 17 Jul 2025 - Former Karachuonyo Member of Parliament Dr. Phoebe Muga Asiyo has died in a hospital in North Carolina, United States of America, at the age of 93 years.
- 17 Jul 2025 - A cloud of shock and grief hangs over the Kenyatta National Hospital (KNH) following the mysterious and tragic death of a patient, whose body was discovered in a blood-soaked bed shortly after visiting hours on Thursday afternoon.
- 17 Jul 2025 - Political and religious leaders are top on the list of individuals and entities being investigated by the government for aiding and abetting banditry in West Pokot County.
- 17 Jul 2025 - Civil society group Operation Linda Jamii has filed a constitutional petition challenging the appointment of Michael Nyachae as the chairperson of the board of the Development Bank of Kenya.
- 17 Jul 2025 - Post-mortems were on Thursday conducted on the bodies of two young men who were shot dead by police during the recent Saba Saba protests in Kirinyaga County.
- 17 Jul 2025 - Detectives from the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) have arrested three senior employees and an intern of the National Treasury following numerous bribery allegations.
- 17 Jul 2025 - WADR representatives, joined by international peace experts, warned that continued conflict threatens to erode hard-won gains in governance, entrepreneurship, innovation, and the rule of law.
- 17 Jul 2025 - The fight for control of the hospital continues.
- 17 Jul 2025 - Naivasha Member of Parliament Jayne Kihara was on Thursday afternoon arrested at her home in Nakuru County.