- 294 views
Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu ametangaza kuanzishwa kwa utekelezaji wa pendekezo la jopokazi kuhusu mabadiliko kwenye sekta ya elimu ambapo sasa matokeo ya mtihani wa KCSE yataanza kujumlishwa kwa njia tofauti. Akitangaza mikakati ya kuhakikisha mitihani ya kitaifa itakayoanza mwezi Novemba na kukamilika Disemba imekwenda sawa, Machogu amesema kuwa ujumlishaji wa matokeo ya KCSE utazingatia masomo mawili ya lazima ambayo ni Hisabati na lugha moja kati ya Kiingereza, Kiswahili na Lugha ya Ishara pamoja na masomo mengine matano.
Tathmini mpya ya KCSE 2023 : Ujumlishaji mpya wa matokeo ya KCSE kuanza
- - Duniani Leo ››
- - Sam's Sense ››
- - Bonyo's Bone ››
- - Kaikai's Kicker ››
- - Yvonne's Take ››
- 16 May 2025 - US President Donald Trump said Thursday a deal was close on Iran's nuclear programme that would avert military action, sending oil prices tumbling, as he boasted of raising "trillions of dollars" on a Gulf tour.
- 16 May 2025 - US Secretary of State Marco Rubio said Thursday he did not expect breakthroughs in talks between Ukraine and Russia, which sent a low-level delegation to Istanbul.
- 16 May 2025 - Kemis: Second shot at fixing student data
- 16 May 2025 - Kenyans grieve their lost kin, even as Murkomen circles in useless legalese
- 16 May 2025 - Coffee farmers to receive centralised payments in landmark sector reforms
- 16 May 2025 - Gachagua promises to listen as goons disrupt the launch of DCP
- 16 May 2025 - Leader of Your Dreams
- 16 May 2025 - Kagwe is expected to provide clarity on the leasing programme, which has drawn widespread criticism.
- 16 May 2025 - The IG said NPS is underfunded by Sh40.9 billion, including Sh29.89 billion in recurrent and Sh11.07 billion in development.
- 16 May 2025 - The Cabinet secretary on Saturday outlined concrete steps the government is already taking to address long-standing grievances.