Skip to main content
Skip to main content

Tazama jinsi maporomoko ya ardhi yalivyoanza kutokea huko New Zealand

  • | BBC Swahili
    11,549 views
    Duration: 20s
    . Maporomoko hayo yariharibu kambi ya watalii iliyokuwa chini ya Mlima Maunganui katika Kisiwa cha Kaskazini, kuvunja mahema na kupindua magari yaliyokuwa katika maegesho. Maporomoko hayo ya ardhi yalisababishwa na mvua kubwa zilizonyesha kwa siku kadhaa zilizopita, na kusababisha mafuriko na kukatika kwa umeme. #bbcswahili #bbcswahili #newzealand Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw