- 342 views
SERIKALI SASA INAWATAKA MASHABIKI KUFIKA KATIKA UWANJA WA KASARANI TAKRIBAN SAA TANO KABLA YA MECHI KATI YA HARAMBEE STARS NA CHIPOLOPOLO KUTOKA ZAMBIA SIKU YA JUMAPILI. MWENYEKITI WA KAMATI ANDALIZI YA CHAN NCHINI NICHOLAS MUSONYE AMESEMA HATUA HIYO NI YA KUHAKISHA KUWA TARATIBU ZA USALAMA ZIMEZINGATIWA. TAYARI TIKETI ZOTE 27,000 ZIMEUZWA NA WATAKAORUHUSIWA KUINGIA UWANJANI NI WALIO NA TIKETI ZA KIELEKTRONIKI PEKEE
Tiketi za kielektroniki tu zitaruhusiwa Kasarani | Mashabiki watakiwa kufika saa 5 kabla ya mechi
- 13 Aug 2025 - President William Ruto on Wednesday assented to the County Allocation of Revenue Bill, 2025, and the County Public Finance Laws (Amendment) Bill, 2023.
- 13 Aug 2025 - The ruling follows a petition filed by four individuals, among them Nakuru-based surgeon Dr. Benjamin Gikenyi, challenging the legality of the committee appointed to audit pending NHIF claims.
- 13 Aug 2025 - The court noted that even with anonymized data, verifying the “genuineness” of claims would inevitably require access to identifiable medical records — infringing the right to privacy.
- 13 Aug 2025 - The clarification follows an uproar from Kenyans.
- 13 Aug 2025 - Men generally have a slightly higher usage rate than women in most age brackets.
- 13 Aug 2025 - African officials and experts have warned that the unpredictability of U.S. trade policy fuels uncertainty for the continent's development.
- 13 Aug 2025 - The opening of the new offices came ahead of the official opening of the ninth Devolution Conference.
- 13 Aug 2025 - In regions with limited healthcare access, it is one of the leading causes of preventable hearing loss.
- 13 Aug 2025 - What respondents said in a survey conducted in Kenya, Ghana, South Africa.
- 13 Aug 2025 - Kenya is the latest country to be declared sleeping sickness-free.