Skip to main content
Skip to main content

Tume ya kupambana na ufisadi yachunguza mchakato wa ajira Siaya

  • | Citizen TV
    538 views
    Duration: 1:56
    Tume ya kupambana na ufisadi nchini EACC imeanza rasmi uchunguzi kuhusu madai ya uajiri wa madaktari mia tano katika kaunti ya Siaya, unaodaiwa kufanyika kinyume cha sheria.