Chama cha upinzani ACT Wazalendo kinataka uchaguzi wa serikali za mitaa ubatilishwe na urudiwe.
Madai hayo ni kutokana na kile walichokiita kuharibiwa kwa uchaguzi huo, wakisema uchaguzi uligubikwa na vitendo vingi vya uonevu kwa wagombea na wafuasi wao, ikiwa ni pamoja na uvunjwaji mkubwa wa sheria na kanuni mbalimbali za uchaguzi.
Chama hicho kiliambulia chini ya asilimia moja ya kura kwa kila nafasi iliyogombewa huku chama tawala Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikitangazwa kupata takribani asilimia 97.
Kiongozi wa ACT Wazalendo Dorothy Semu amezungumza na mwandishi wa BBC Sammy Awami juu ya msimamo wa chama chao juu ya matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
#bbcswahili #tanzania #siasa
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
21 Jul 2025
- Former Law Society of Kenya (LSK) President Eric Theuri has criticized the government’s decision to charge arrested protesters with terrorism-related offenses, calling the move "ridiculous" and lacking any legal foundation.
21 Jul 2025
- A gang of over 10 people raided a coffee factory in Mwea East, Kirinyaga County tied and injured two night watchmen before escaping with 26 bags of the farm product valued at 1.8 million.
21 Jul 2025
- The arrest triggered widespread public attention, with authorities claiming to have recovered items that raised national security concerns.