Skip to main content
Skip to main content

Udhibiti wa kamari: Peter Maina achukua madaraka, ongezeko la mageuzi yanatarajiwa

  • | Citizen TV
    242 views
    Duration: 1:12
    Mkurugenzi mpya wa mamlaka ya udhibiti wa kamari kenya Peter Maina Karemi ametwaa jukumu hilo kutoka kwake Peter Mbugi. Karemi sasa akiwataka wakenya watarajie mageuzi katika sekta ya kamari nchini ikiwemo kudhibiti matangazo yote ya uchezaji kamari nchini hadi wakati wa usiku.