- 242 viewsDuration: 1:12Mkurugenzi mpya wa mamlaka ya udhibiti wa kamari kenya Peter Maina Karemi ametwaa jukumu hilo kutoka kwake Peter Mbugi. Karemi sasa akiwataka wakenya watarajie mageuzi katika sekta ya kamari nchini ikiwemo kudhibiti matangazo yote ya uchezaji kamari nchini hadi wakati wa usiku.