Skip to main content
Skip to main content

Ujenzi wa jumba la huduma za uzazi waanza Loosuk Kaunti ya Samburu

  • | Citizen TV
    427 views
    Duration: 3:12
    Wakazi wa Loosuk na bonde la Malaso samburu magharibi, wana kila sababu ya kutabasamu baada ya uzinduzi wa ujenzi wa jengo la huduma za afya ya uzazi. Wakazi wa eneo hilo husafiri mwendo mrefu hadi mjini Maralal katika hospitali ya rufaa ya samburu kutafuta huduma hizo, lakini sasa wana matumaini kuwa mwendo huo utafupishwa..