Ujerumani yafanya msako dhidi ya kundi linalodaiwa kuendeleza itikadi za Iran
Polisi nchini Ujerumani walivamia maeneo 54 kote nchini katika uchunguzi wa kituo chenye makao yake mjini Hamburg kinachoshukiwa kuendeleza itikadi za Iran na kuunga mkono shughuli za Hezbollah, serikali ilisema Alhamisi.
Wizara ya Mambo ya ndani ilisema Kituo cha Kiislamu cha Hamburg, au IZH, kimekuwa chini ya uangalizi wa shirika la kijasusi la ndani la Ujerumani kwa muda mrefu. Ilisema shughuli za kundi hilo zinalenga kueneza "dhana ya kimapinduzi" ya kiongozi mkuu wa Iran.
Wizara ya Mambo ya ndani ilisema ujasusi wa Ujerumani unaamini kuwa kuna ushawishi mkubwa au udhibiti kamili juu ya misikiti na vikundi vingine, na kwa mara nyingi wanaendeleza "mtazamo wa wazi wa chuki na dhidi ya Israeli."
Ilisema mamlaka inachunguza ikiwa inaweza kupigwa marufuku, na nyenzo zilizokamatwa wakati wa upekuzi zitatathminiwa.
17 Aug 2025
- LPG-powered cars are gaining popularity in the country.
17 Aug 2025
- Schools are set to reopen for the third term from next week.
17 Aug 2025
- Raila had demanded the transfer of the functions.
17 Aug 2025
- ODM leader Raila Odinga has sharply criticised individuals who spread malicious rumours and wished death upon Siaya Governor James Orengo when he was out of the country for more than one month.
17 Aug 2025
- European leaders will join Ukrainian President Volodymyr Zelensky during his visit to Washington on Monday seeking an end to Moscow's invasion, after President Donald Trump dropped his push for a ceasefire following an Alaska summit with Russian leader…
17 Aug 2025
- Uganda has inaugurated its first large-scale gold mine, a $250 million Chinese-owned project in the country's east that will also refine the bullion to 99.9% purity, according to a statement from the president's office.
17 Aug 2025
- Whether in a sports jersey or a suit, Kenyan President William Ruto is casting himself as a model supporter of the national football team as an international tournament provides respite from recent bloody protests against his regime.
17 Aug 2025
- Security has been heightened along the Thika Superhighway near the Moi International Sports Centre, Kasarani, ahead of Kenya’s Harambee Stars match against Zambia’s Chipolopolo.
17 Aug 2025
- The second half is expected to bring more intensity as both teams chase a crucial win.
17 Aug 2025
- The Hollywood stuntman and actor died on 12 August at a care home in the US state of Missouri
17 Aug 2025
- LPG-powered cars are gaining popularity in the country.
17 Aug 2025
- Schools are set to reopen for the third term from next week.
17 Aug 2025
- No football fans without match tickets were allowed past the checkpoints.