Skip to main content
Skip to main content

Ukarabati wa reli inayounganisha Mombasa na Miritini wakamilika

  • | KBC Video
    2,879 views
    Duration: 2:21
    Shughuli ya kupanua njia ya reli ya kisasa inaendelea kufuatia kukarabatiwa kwa njia ya reli inayounganisha Mombasa na Miritini, na kujengwa kwa kituo cha kisasa cha reli cha Mombasa. Takriban watu alfu nne wanatarajiwa kusafiri kwa kutumia reli hiyo mpya, wakati itakapozinduliwa. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive