- 233 views
Matembezi ya kuhamasisha umma kuhusu ugonjwa wa kisukari yalifanyika jijini Nairobi kwa lengo la kuchangisha fedha na kuwasaidia watoto wanaoishi na aina ya kwanza ya ugonjwa wa kisukari. Matembezi hayo yaliyodhaminiwa na Citizen Digital kwa ushirikiano na wadau wengine, yaliwashirikisha watu mbalimbali waliotembea umbali wa kilomita 12.6. Matembezi hayo yalianzia na kukamilika katika uwanja wa Carnivore. Mpango huo unalenga kuhimiza uchunguzi wa mapema, upatikanaji wa dawa, na udhibiti wa hali hiyo miongoni mwa watoto kutoka jamii zilizoko katika mazingira magumu.Waandalizi walisisitiza umuhimu wa ushirikishwaji wa jamii katika kukabiliana na ongezeko la visa vya kisukari na kusaidia wagonjwa wenye umri mdogo wanaohitaji uangalizi wa mara kwa mara.
Umma wahamasishwa kuhusu ugonjwa wa kisukari
- 13 Jul 2025 - Talks aimed at securing a ceasefire in Gaza are stalling over the extent of Israeli forces' withdrawal from the Palestinian enclave, Palestinian and Israeli sources familiar with the negotiations in Doha said on Saturday.
- 13 Jul 2025 - The U.N. and the Dutch foreign ministry said on Friday they had cancelled an LGBTQ-themed event in Senegal after the West African nation warned of repercussions for organisers and voiced opposition to all "promotion of the LGBTQI phenomenon".
- 13 Jul 2025 - Kapseret Member of Parliament (MP) Oscar Sudi has offered a heartfelt glimpse into his longstanding friendship with Trans
- 13 Jul 2025 - While Ruto stutters, unemployment threatens to fuel a youth revolution
- 13 Jul 2025 - President Ruto's loyal attack dog barks loud but he can't bite you!
- 13 Jul 2025 - Why July 7 protests were a nightmare
- 13 Jul 2025 - Abandoned but not alone: Babies with disabilites find hope at KNH
- 13 Jul 2025 - The President is beating drums of war against his own people
- 13 Jul 2025 - Ex-spy master Boinnet lifts lid on intelligence reform battles
- 13 Jul 2025 - ODM party leader Raila Odinga has defended his proposal for the formation of a national conclave to chart a new path through collective civic engagement.