- 163 viewsKila mwaka wakati Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa likikutana New York, kuna matukio ya pembeni yanaadaliwa au kudhaminiwa na UN kukiwa na mikutano, mijadala na mihadhara juu ya maudhui mbalimbali yanayohusiana na kikao cha UNGA. Sikiliza rai ya Katibu Mkuu Kiongozi wa Wizara ya Elimu Kenya Sarah Ruto kuhusu kutoa elimu bora kwa wanaume na wanawake, Moja ya matukio yaliyofanyika pembeni ya kikao cha mwaka huu ilikuwa juu ya maudhui #Achieving #GapZero Evidence- Driven Inclusive Governance in Africa,” iliyoangazia namna na kuongeza ushiriki wa kisiasa wa wanawake katika bara hilo. Tukio hilo lilishirikisha mazungumzo ya ngazi ya juu akiwemo Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf, Ahunna Eziakonwa, naibu mkurugenzi wa utawala na kanda wa UNDP Afrika, Colleen Zamba, katibu wa Rais wa Malawi, Abdoulie Janneh, mkurugenzi mtendaji wa Taasisi ya Mo Ibrahim na wengine. #unga #voaunga #unga78
'...Unapotoa fursa bora kwa wanaume na wanawake nini kinatokea...'
- 11 May 2025 - The new pope, Leo XIV, has something in common with many of his peers in the Catholic hierarchy. He's been in positions of authority when accusations of sexual abuse have arisen against priests under his supervision.
- 11 May 2025 - Citizen TV has been ranked the 4th Most Distinctive, Reliable, and Quality Brand in Kenya in the 2024 Consumer Survey by Superbrands East Africa, a global authority in branding, operating in over 90 countries.
- 11 May 2025 - An overcrowded bus carrying dozens of Buddhist pilgrims plummeted into a precipice in Sri Lanka on Sunday, killing at least 21 and injuring 24, a senior transport official said.
- 11 May 2025 - Along with the spiritual leadership of the world's 1.4 billion Catholics, Pope Leo XIV now inherits oversight of the Vatican's shoddy finances -- and his predecessor's efforts to clean them up.
- 11 May 2025 - Pope Leo XIV will greet the crowd from the balcony of St Peter's Basilica on Sunday, leading a prayer to the Virgin Mary in his second official public appearance since becoming the leader of the Catholic Church.
- 11 May 2025 - The group seeks to raise over Ksh57 million.
- 11 May 2025 - The government seeks to sign a Memorandum of Understanding (MOU) with the Dominican Republic to support the Kenya-led Multinational Security Support (MSS) mission in Haiti.
- 11 May 2025 - The couple had an argument the night before.
- 11 May 2025 - The embattled ODM secretary general has held the position since 2018.
- 11 May 2025 - Motive for the killings yet to be established.