- 163 viewsKila mwaka wakati Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa likikutana New York, kuna matukio ya pembeni yanaadaliwa au kudhaminiwa na UN kukiwa na mikutano, mijadala na mihadhara juu ya maudhui mbalimbali yanayohusiana na kikao cha UNGA. Sikiliza rai ya Katibu Mkuu Kiongozi wa Wizara ya Elimu Kenya Sarah Ruto kuhusu kutoa elimu bora kwa wanaume na wanawake, Moja ya matukio yaliyofanyika pembeni ya kikao cha mwaka huu ilikuwa juu ya maudhui #Achieving #GapZero Evidence- Driven Inclusive Governance in Africa,” iliyoangazia namna na kuongeza ushiriki wa kisiasa wa wanawake katika bara hilo. Tukio hilo lilishirikisha mazungumzo ya ngazi ya juu akiwemo Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf, Ahunna Eziakonwa, naibu mkurugenzi wa utawala na kanda wa UNDP Afrika, Colleen Zamba, katibu wa Rais wa Malawi, Abdoulie Janneh, mkurugenzi mtendaji wa Taasisi ya Mo Ibrahim na wengine. #unga #voaunga #unga78
'...Unapotoa fursa bora kwa wanaume na wanawake nini kinatokea...'
- - Duniani Leo ››
- 16 Jul 2025 - Indonesian authorities have detained 12 suspects after uncovering an alleged baby trafficking ring that sent more than a dozen infants to Singapore, a police official told AFP on Tuesday.
- 16 Jul 2025 - U.S. President Donald Trump said he believed Britain would fight to defend the United States but suggested he could not say the same for the European Union, a factor in his decision not to sign a trade deal with the bloc.
- 16 Jul 2025 - The agency received 713,173 applications but could only fund 322,338 university students.
- 16 Jul 2025 - HELB deficit locks out 160,000 from funding
- 16 Jul 2025 - Cover-up claims as civil society details Saba Saba crackdown horror
- 16 Jul 2025 - Memories of National Youth Service and the new reality
- 16 Jul 2025 - The creeping wave of perceived state-enabled lawlessness for political expediency is tightening its grip on Kenya.
- 16 Jul 2025 - MPs Oundo and Mandazi demand action against officers who authorised the disbursement.
- 16 Jul 2025 - Stakes have been raised following a staggering Sh52.8 billion compensation claim.
- 16 Jul 2025 - Pathologists want two weeks to undertake further analysis on Julia Wangui’s body.