Skip to main content
Skip to main content

Unyunyiziaji maji wazalisha vyakula kwenye ardhi kame Kajiado

  • | Citizen TV
    179 views
    Wakazi wa ngurumani, kijiji cha Kongo, Kajiado magharibi, wameonesha kuwa kilimo kinaweza kustawi hata katika mazingira magumu. Kupitia matumizi ya maji ya unyunyiziaji yanayotoka milimani, wakulima wa eneo hili wamebadilisha maisha yao na kukuza uchumi wa jamii