Skip to main content
Skip to main content

Upinzani wapinga mswada wa hazina ya ujenzi ya kitaifa

  • | Citizen TV
    5,141 views
    Duration: 1:57
    Umoja wa Upinzani Rigathi Gachagua, Kalonzo Musyoka, Eugene Wamalwa na Justin Muturi, wanaitaka bunge la taifa kupinga Mswada wa hazina ya taifa mwaka wa 2026, wakidai kwamba ni kinyume na sheria. Aidha, viongozi hao wakihutubia wanahabari, walidai kwamba kuna njama ya kurejesha mwekezaji wa kibinafsi Adani, kupitia ujenzi wa uwanja mpya wa ndege wa kimataifa.