Skip to main content
Skip to main content

Upinzani watishia kusimamisha mpango wa uuzaji wa hisa za Safaricom kwa Vodafone Kenya

  • | Citizen TV
    1,803 views
    Duration: 2:23
    Nipe nikupe kuhusu mpango wa kuuzwa kwa hisa za Kampuni ya Safaricom kwa Vodafone Kenya inaendelea kuchacha huku Upinzani sasa ukitishia kusimamisha mchakato huo kupitia mahakama. Upinzani unadai kwamba wakenya hawajahusishwa katika mpango huo wa serikali kuuza asilimia 15 ya hisa zake milioni sita za Safaricom wakisema malipo yake ni ya chini mno