- 10,685 viewsDuration: 2:41Muungano wa upinzani umetishia kuandaa maandamano kote nchini katika wiki mbili zijazo, iwapo idara ya polisi haitawachukulia hatua maafisa wa polisi waliomshambulia kinara wa DCP Rigathi Gachagua akiwa kanisani katika kaunti ya Nyeri. Wakizungumza baada ya mkutano na inspekta jenerali wa polisi Douglas Kanja jijini Nairobi, viongozi hao walikashifu visa vya kutishiwa maisha wakiwataka polisi kuwajibishwa