- 13 views
Serikali inashirikiana na sekta za kibinafsi katika kuboresha usalama wa barabarani kwa kutathmini upya sheria ya mwaka 2023 kuhusu Madereva walevi na ukaguzi wa magari mabovu. Akizungumza wakati wa mkutano wa kutafuta maoni ya umma kwenye Kaunti ya Nairobi, Afisa mkuu wa masuala ya usalama wa barabarani katika halmashauri ya kitaifa kuhusu uchukuzi na usalama barabarani Samuel Musumba, alisema hatua hiyo inafanyika kwa kuzingati mpango wa serikali ya kujidhibiti kwa watu binafsi. Hata hivyo wadau katika sekta ya umma ambao walihudhuria mkutano huo, waliitaka serikali kukabiliana na maderava wanaokiuka sheria za barabarani. Tayari halmashauri ya NTSA imezuru kauti nne ikipokea maoni ya umma, zoezi ambalo litakamilika mwezi machi mwaka huu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #usalamabarabarani #News #NTSA
Usalama barabarani | Serikali yakadiria upya kanuni za ukaguzi wa magari
- - Duniani Leo ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 14 May 2024 - Hundreds of learners and their teachers in flood-hit areas were forced to seek refuge in other schools.
- 14 May 2024 - Amidst countrywide floods, medical experts foresee a surge in diseases like malaria, disproportionately affecting women and girls. Dr Trizah Milugo, a medical entomologist renowned for her work...
- 14 May 2024 - Trump has promised to crack down on illegal immigration and restrict legal immigration if elected to a second four-year term in the White House.
- 14 May 2024 - African countries are rushing to create their own AI policies
- 14 May 2024 - The former president has pleaded not guilty to felony charges against him.
- 14 May 2024 - The event attracted participants from 12 African countries including Tanzania, Senegal, Ghana, Ivory Coast, Uganda, Cameroon, Angola and hosts Nigeria.
- 14 May 2024 - Okere was named the top trainee out of the 18 coaches who received their CAF A License after a six-month training
- 14 May 2024 - In addition to the national title, Jepkesho is also focused on securing an Olympic slot in the 10,000m by lowering her time.
- 14 May 2024 - Kipruto emphatically stated his desire to light up the French capital with a masterstroke performance.
- 14 May 2024 - NuPEA CEO says it will help cure the problem of frequent blackouts