- 65 views
Baadhi ya wajenzi katika mtaa wa South B, kaunti ya Nairobi wameelezea wasiwasi wao kufuatia uamuzi wa mahakama kuu kwamba ushuru wa nyumba za gharama nafuu ni kinyume cha katiba. Wajenzi hao wanaofanya kazi chini ya mpango wa nyumba za bei nafuu, wameelezea wasiwasi kwamba huenda wakapoteza ajira wakati taifa likishuhuhudia gharama ya juu ya maisha na ukosefu wa ajira. Haya yanajiri huku wizara ya nyumba ikiwaonya waajiri dhidi ya kutowakata wafanyakazi wao ushuru huo na kuuwasilisha kwa KRA ikiashiria kuwa uamuzi wa korti uliahirisha utekelezaji wa maamuzi yake hadi Januari 10 mwaka ujao.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Ushuru Wa Nyumba: Wafanyakazi wa ujenzi wahofia kupoteza ajira
- - LIVE|| #SifaSunday ››
- - LIVE|| TV47 WIKENDI ››
- 5 May 2024 - Motorists plying the Kisumu- Nairobi highway have been forced to persevere an hours-long snarl-up at the Ahero area after river Nyando burst its banks on Saturday night forcing water to flow over the Ahero bridge.
- 5 May 2024 - The Tanzania Meteorological Authority (TMA) confirmed on Saturday that following a 6-hour watch of the weather patterns they established that Tropical Cyclone Hidaya "has completely lost its strength".
- 5 May 2024 - The government says nine people have died in the last 24 hours.
- 5 May 2024 - Body of a 5-year-old girl, whose mother jumped with her into river Nyamindi in Kirinyaga County has been found.
- 5 May 2024 - Coast Guard and the Kenya Red Cross Society have already responded to the scenes.
- 5 May 2024 - This is according to the Estimates of Development Expenditure for the year ending June 30, 2025, released by the National Treasury.
- 5 May 2024 - Nine p****e have been reported dead due to floods in the last 24 hours, bringing the toll to 228, according to Government Spokesperson Isaac Mwaura. In a statement on Sunday, May 5, 2024, Mwaura revealed that 72 p****e are currently missing and a…
- 5 May 2024 - NCCK Coast Region has commended President William Ruto's directive to have schools remain closed until further notice due to the ongoing floods
- 5 May 2024 - Ruto pushes House to entrench CDF in law
- 5 May 2024 - Boy in agony after he's beaten, burnt by father