- 88 views
Rais Wlliam Ruto amezoa asilimia 47% ya alama sawia alama ya da huku naibu wake Rigathi Gachagua akiwa na asilimia 36% ambayo ni nakili ya alama ya e kulingana na utafiti uliotolewa na kampun ya infotrak. Utafiti huo wa mwisho wa mwaka pia ulishuhudia taasisi mbali mbali ikiwemo idara ya mahakama, polisi, bunge na upinzani ikizoa alama ya da. asilimia 61 ya wakenya walalamikia kwamba mwaka wa 2023 ulikuwa mwaka mgumu katika sekta ya uchumi kwa kutokana na ushuru mkubwa na hali gumu ya maisha. Utafiti mwingine wa tifa inaweka idadi hiyo kuwa 81% ambapo wanasema matarajio ya uchumi wa nchi ilidiidmia kwa kiasi kikubwa zaidi ikilinganishwa na mwaka wa 2022.
Utafiti wa Infotrak kuhusu serikali na hali ya maisha
- - Outro ››
- - KTN Newswrap ››
- 18 May 2025 - Iran's Supreme Court has upheld a death sentence handed down against pop singer Amir Hossein Maghsoudloo, known as Tataloo, on blasphemy charges, judiciary spokesman said Saturday.
- 18 May 2025 - Hundreds of Libyan protesters called on Friday for the ouster of the internationally recognised prime minister and his government, said one security force member was killed when some protesters tried to storm his office.
- 18 May 2025 - Season of party realignment and shifting alliances back with a bang
- 18 May 2025 - Ghosts of Ukambani stalled projects haunts as Ruto postpones tour
- 18 May 2025 - Ruto's blunders in front of foreign dignitaries keep piling up
- 18 May 2025 - Why tribal affiliations are likely to define 2027 elections, yet again
- 18 May 2025 - Rock and hard place: Baggage presidential hopefuls bring
- 18 May 2025 - One man show: Koskei firms his grip on parastatals' operations
- 18 May 2025 - From bandits to AI: Kenya's security must evolve fast to counter crime
- 18 May 2025 - Ex-Nairobi police boss Kibuchi dies after illness