Skip to main content
Skip to main content

Vijana 18 waokolewa baharini manda kaunti ya Lamu katika ajali ya mashua

  • | Citizen TV
    6,437 views
    Duration: 1:47
    Vijana 18 wameokolewa baada ya mashua yao kwa jina Aljazira kuzama baharini eneo la Manda kaunti ya Lamu.