- 930 views
Vijana, Wazee na Viongozi wa Kericho Wameandaa Mkutano wa Amani kuadhimisha Siku ya Saba Saba na kutangaza makataa Ya siku 21 Kuhusu kwa serikali kutoa muongozi kwa Vijana Vijana kutoka Kaunti ya Kericho, wakishirikiana na wazee, viongozi wa kidini na Wajumbe watatu wa Bunge la Kaunti waliandaa mkutano wa amani katika bustani ya Moi hapo jana, wakichagua njia ya mazungumzo badala ya maandamano kudai haki zao. Akihutubia mkutano huo, Rais wa Vijana wa Kericho, Elkana Mutai, aliwapongeza vijana kwa kuchagua amani lakini pia alitoa makataa ya siku 21 kwa Gavana Dkt. Erick Mutai, Seneta Aaron Cheruiyot, Wabunge na Wajumbe wa Bunge la Kaunti kuhakikisha utekelezaji wa matakwa ya Katiba kuhusu kutenga asilimia 30 ya kandarasi na zabuni za kaunti kwa vijana, wanawake na watu walemavu.
Vijana na baadhi ya viongozi Kericho wafanya mashauriano ya amani
- 8 Jul 2025 - President William Ruto has expressed Kenya's commitment to combat the escalating global climate crisis.
- 8 Jul 2025 - Seven suspects accused of leading the arson attack on Mawego Police Station in Homa Bay County during protests over the death of blogger Albert Ojwang have been arraigned before the Oyugis Law Courts.
- 8 Jul 2025 - The Director of Public Prosecutions (DPP) has approved terrorism charges against 37 individuals arraigned at the Kahawa Law Courts, including Peter Kinyanjui Wanjiru, alias Kawanjiru, and Serah Wanjiku Thiga.
- 8 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki has said the government is enhancing partnerships with global technology companies to create more job opportunities for the youth.
- 8 Jul 2025 - The government has launched a fresh crackdown targeting foreign nationals from Burundi, Rwanda, the Democratic Republic of Congo (DRC), and Uganda’s Wagisu community residing in West Pokot County, over suspected involvement in cannibalism and human organ…
- 8 Jul 2025 - Nairobi Environment Chief Officer Geoffrey Mosiria has strongly refuted claims that he is merely a content creator chasing
- 8 Jul 2025 - The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has requested the court to grant them more days to complete the
- 8 Jul 2025 - 36 suspects were arraigned on Tuesday at the Eldoret law court with charges of being in possession of weapons in public contrary to section 88 of the penal code.
- 8 Jul 2025 - Nominated Senator Karen Nyamu strongly condemned the impeachment motion brought before the Senate against Isiolo Governor Abdi Ibrahim
- 8 Jul 2025 - The European nation announced plans to increase its diplomatic presence abroad to four more countries in 2023.