Skip to main content
Skip to main content

Vijana wa Uganda wataka ahadi za viongozi zitimie

  • | BBC Swahili
    11,357 views
    Duration: 1:27
    Wakati Uganda ikielekea kuanda uchaguzi mkuu mwezi huu, vijana nchini humo wametoa wito kwa wanaowania nyadihfa mbalimbali nchini humo kuhakikisha wanatimiza ahadi zao kwa vijana. Nchi hiyo ya Afrika Mashariki ni mojawapo ya mataifa yenye idadi kubwa zaidi ya vijana duniani. @shuayib.ibrahim na maelezo zaidi #bbcswahili #uganda #uchaguzimkuu2026 #siasa #bobiwine #Museveni Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw