- 152 viewsDuration: 2:08Wazazi wamepewa changamoto ya kujifunza na kukumbatia maendeleo ya kiteknolojia ili waweze kuwasaidia watoto wao kuitumia kwa busara. Kanisa la Anglikana, Dayosisi ya Nyahururu limeanzisha programu ya vijana inayokusudiwa kuwawezesha kutumia teknolojia kwa manufaa yao.